Home Search Countries Albums

Alaa! Lyrics


Riba shaghalaga riba
We unanipa na sijakuagiza
Gurumisha aiskie unakimbiza
Hii ni movie nakupa sio teaser

Huyu dem ako na mmmh hmm (Alaa!)
Anadai nikape mmmh hmm (Alaa!)
Na siwezi mnyima mmmh hmm 
Ju ana mmh mmh na ana mmmh hmm (Alaa!)

Sema den wa Rongai tulimeet kwa msee wa mayai (Alaaa!)
Alikuwa anajidai kumbe anapendaga rungu kama Moi (Alaaa!)
Alikuwa amebe be lakini sura (Alaaa!)
Usiku sacco sako kwa bako
Mikono kwa mako sitambui jasho

Rashia wa marash after shower
Ju ni mluhya nikamsetia kahawa
Akabambika akagawa 
Akitoka ndo akauliza unaitwa nani?

Riba shaghalaga riba
We unanipa na sijakuagiza
Gurumisha aiskie unakimbiza
Hii ni movie nakupa sio teaser

Huyu dem ako na mmmh hmm (Alaa!)
Anadai nikape mmmh hmm (Alaa!)
Na siwezi mnyima mmmh hmm 
Ju ana mmh mmh na ana mmmh hmm (Alaa!)

----
----

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Alaa! (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MBUZI GANG

Kenya

Mbuzi Gang is a group of 3 artists; Joefes 254, iPhoolish and Fathermoh from Kenya. Signed ...

YOU MAY ALSO LIKE