Alaa! Lyrics
Riba shaghalaga riba
We unanipa na sijakuagiza
Gurumisha aiskie unakimbiza
Hii ni movie nakupa sio teaser
Huyu dem ako na mmmh hmm (Alaa!)
Anadai nikape mmmh hmm (Alaa!)
Na siwezi mnyima mmmh hmm
Ju ana mmh mmh na ana mmmh hmm (Alaa!)
Sema den wa Rongai tulimeet kwa msee wa mayai (Alaaa!)
Alikuwa anajidai kumbe anapendaga rungu kama Moi (Alaaa!)
Alikuwa amebe be lakini sura (Alaaa!)
Usiku sacco sako kwa bako
Mikono kwa mako sitambui jasho
Rashia wa marash after shower
Ju ni mluhya nikamsetia kahawa
Akabambika akagawa
Akitoka ndo akauliza unaitwa nani?
Riba shaghalaga riba
We unanipa na sijakuagiza
Gurumisha aiskie unakimbiza
Hii ni movie nakupa sio teaser
Huyu dem ako na mmmh hmm (Alaa!)
Anadai nikape mmmh hmm (Alaa!)
Na siwezi mnyima mmmh hmm
Ju ana mmh mmh na ana mmmh hmm (Alaa!)
----
----
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Alaa! (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MBUZI GANG
Kenya
Mbuzi Gang is a group of 3 artists; Joefes 254, iPhoolish and Fathermoh from Kenya. Signed ...
YOU MAY ALSO LIKE