Home Search Countries Albums

Kasepa

ASLAY

Kasepa Lyrics


Amekitonesha tena
Kile kidonda kilochoanza kupona
Ah amenichanganya sana
Nahisi kudaka amegusa mtima ah

Ameniumiza jamaa 
Amenikumbusha yale mambo ya nyuma ah
Maumivu yameanza tena
Anivunja vunja yaani mwili mzima

Hafai hafai
Kwenye mboni za macho
Katia pilipili
Nishai

Alisema amekuja kunibadilisha
Cha ajabu amekuja amebadilika
Amebadilika kabadili maisha akasepa

Alinichuna chuna tu
Alinipuna puna akaniacha juu juu
Kwenye macho yangu amekuwa kitungu
Nikimuona yeyye nabaki kulia tu

Kasepa, kasepa kasepa
Kasepa na moyo wangu
Amechukua, ameweka waah eeh
Kasepa na moyo wangu

Kaondoka
Kasepa na moyo wangu
Amechukua, ameweka waah eeh
Kasepa na moyo wangu

Ooh muulizeni kwangu alikosa nini
Muulizeni kasoro yangu kitu gani
Ooh mwambieni mwenzako afanye nini
Ili atambue aelewe nateseka kiasi gani mama

Kwenye maisha yangu alifuata nini
Haya niliyasahau mimi toka zamani
Namuita Israeli wa maisha yangu, jamani mimi 
Haya niliyasahau toka zamani

Kasepa, kasepa kasepa
Kasepa na moyo wangu
Ameniumiza mie
Kasepa na moyo wangu

Kasepa na moyo wangu mie
Kasepa na moyo wangu
Oh kaniacha peke yangu mie
Kasepa na moyo wangu

Ameniteketeza, ameniumiza
Ameniteketeza (Kasepa na moyo wangu)
Ameniumiza (Kasepa na moyo wangu)

(Mafeeling Record

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Kasepa (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ASLAY

Tanzania

Isihaka Nassoro  aka Dogo Aslay  is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...

YOU MAY ALSO LIKE