Accueil Recherche Pays Albums

Aku Lyrics


Vipi nitaziba pancha
Maana moyo ushatoboka
Kisimani bila ngaka
Mbebaji nikachoka

Nahisi uchuro ama mizimu
Nimepinga dua zangu
Mizani pima kilo
Na ni doctor wa kutibu maradhi yangu

Basi moyo tulia kinywa kikose maneno
Mengi nishayafumbia japo sheria msumeno
Basi moyo tulia kinywa kikose maneno
Mengi nishayafumbia japo sheria msumeno

Aku sitaki tena
Aku kuugua maradhi na tiba hakuna
Aku sitaki tena
Aku kuugua maradhi na tiba hakunaga

Uwezo wangu wa taratatili mapungufu ya nyota
Kichwa mawazo maradhi ya mwili dah yaani nachoka
Kanitia doa kwenye ndoano kanivua vua
Najishongondoa kwenye mabano naungua jua
Ndege kisirisiri nimenaswa kisa mpunga
Japo nisaidie penzi langu nyota ya ponda

Basi moyo tulia kinywa kikose maneno
Mengi nishayafumbia japo sheria msumeno
Basi moyo tulia kinywa kikose maneno
Mengi nishayafumbia japo sheria msumeno

Aku sitaki tena
Aku kuugua maradhi na tiba hakuna
Aku sitaki tena
Aku kuugua maradhi na tiba hakunaga

Tiba hakunaga
Kibaku baku, nachafukwa na nyongo
Kibaku baku, mwili umekufa nganzi
Kibaku baku, nitavumilia japo kishingu upande

Kibaku baku, nachafukwa na nyongo
Kibaku baku, japo kishingu upande
Kibaku baku, nitavumilia na nitazoea

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Aku (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARISSA

Tanzanie

Marissa real name Marissa Maina is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE