Home Search Countries Albums

Nitavumilia

MADINI CLASSIC

Nitavumilia Lyrics


Ni kama nakosa pumzi
Maneno yanakwisha eeh
Nimeona mengi
Binadamu hawana mema eeh

Ni kama nakosa pumzi
Maneno yanakwisha eeh
Nimeona mengi
Binadamu hawana mema eeh

Chonde chonde roho yangu
Usifanye hasira initawale
Nionekane mbaya mimi eeh

Ona wanasema nanii 
Kamtongoza nanii
Hata baada ya kuniibia haoni
Binadamu wabaya

Ona nabaki nalia na moyo wangu(Sana)
Wananitukana mpaka wezangu(Sana)
Nani aponye kidonda changu?
Mama Madini roho yangu

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia ooh(Kwa sana)

Mama Madini anauliza 
Mwanangu wapi wajukuu
Ila mitandaoni wanasema
Eti nimemtaliki mwanangu

Oooh ona maadui hawajalala
Wananipigia mpaka usiku
Eti handsome umekula?
Ndio kesho waseme seme

Na Mungu si athumani
Kuna wanaonipenda 
Naomba msiniache 

Chonde chonde roho yangu
Usifanye hasira initawale
Nionekane mbaya mimi iyee

Ona wanasema nanii 
Kamtongoza nanii
Hata baada ya kuniibia haoni
Binadamu wabaya

Ona nabaki nalia na moyo wangu(Sana)
Wananitukana mpaka wezangu(Sana)
Nani aponye kidonda changu?
Mama Madini roho yangu

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia ooh(Kwa sana)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nitavumilia (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MADINI CLASSIC

Kenya

Madini Classic is an artist/singer/Songwriter from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE