Nilegeze Lyrics
Matamu ulonipa jana
Yanazidi hamu mpaka zinasimama
Usinipe nusu
Me kwako mzima mzima, jiliwazee
Ndotoni unanijia
Huoni nalewa me nalia
Ikifika inanata, swadakta
Ukiniacha nitachakaa
Haya nile
Nilegeze nile, wewe sawa nile
Nilegeze nile, mwenyewe haya nile
Nilegeze nile, wewe sawa nile
Nilegeze nile, mwenyewe
Kama kamari,
Wamelamba kisuturu fu kopa
Migandisho hatari
Naleta utukutu hadi kwenye sofa
Mimi nisemeje
Mteja kwako nabembea
Naweka na ukuta, weka nukta
Mpaka futa ishike uta
Ndotoni unanijia
Huoni nalewa me nalia
Ikifika inanata, swadakta
Ukiniacha nitachakaa
Haya nile
Nilegeze nile, wewe sawa nile
Nilegeze nile, mwenyewe haya nile
Nilegeze nile, wewe sawa nile
Nilegeze nile, mwenyewe
Nalegea(ooh beiby)
Nalegea(ukinishika shika)
Nalegea(dembe dembe mwenzako)
Nalegea(ooh wako utamu)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Nilegeze (Single)
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE