Home Search Countries Albums

Hapana

KUSAH

Hapana Lyrics


Hata waseme nini sikuachi
Ndio kwanza umepanda na chati
Umenidhibiti umeshika na shati
Umeshinda umevunja kamati

Mwenzio umejitoa mhanga 
Kwenye huba lako
Nichape nipeleke utakavyo
Mimi punda wako

Sitoshika simu yako
Ila shika yangu nimekubali
Hao hao wafiki zako
Wanokusema mimi sikubali

Eti wanasema...
Mara unagawa kwa vipande
Oh unakwenda kwa mpalange
Eti sikwezi nikajipange
Mara nikuache ukadange

Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana
Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana

Hushangai nishakufumania
Ila bado nimeng'ang'ania
Penzi lako limenizidia
Na mwaka huu watanizika

Na si walisema kwamba hubebeki
Leo nakubeba yaani kudadeki
Mmh afe kipa au afe beki
Nishakuwa wako liwalo liwe

Sitoshika simu yako
Ila shika yangu nimekubali
Hao hao wafiki zako
Wanokusema mimi sikubali

Eti wanasema...
Mara unagawa kwa vipande
Oh unakwenda kwa mpalange
Eti sikwezi nikajipange
Mara nikuache ukadange

Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana
Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Hapana (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KUSAH

Tanzania

Kusah is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE