Hauna Maajabu Lyrics

Unatutambia wakati
Shemeji yetu anatuambia (Hauna maajabu)
Unataka bia wakikutoa out unasinzia
(Hauna maajabu)
Tulishabwaganaga lakini bado unaniongelea
(Hauna maajabu)
Unaganda ganda watu kama siris za kikororea
(Hauna maajabu)
Hauna maajabu mama
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu baba eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna bababa
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Viuno vingi ukiwa club
Ukirudi ndani (Hauna maajabu)
Dada wa mjini kutwa unadanga
Unalala chini (Hauna maajabu)
Nawe jomba unapewa bure
Kufika ghetoni (Hauna maajabu)
Noma sana baby kaagiza
Kucheki mfukoni (Hauna maajabu)
Hauna maajabu mama
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu baba eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna bababa
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Pisi kali una sura nzuri
Ukigeuka nyuma (Hauna maajabu)
Una hela unashinda gym
Kubeba vyuma (Hauna maajabu)
Hauwezi kupost bila filter
Coz unajijua (Hauna maajabu)
Wakidosoa wanapita
Si wanakujua (Hauna maajabu)
Hauna maajabu mama
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu baba eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna bababa
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Hauna Maajabu (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE