Home Search Countries Albums

Gugugaga

LULU DIVA Feat. FID Q

Gugugaga Lyrics


Mchizi fulani mwenye body la ajabu
Nataka anieke ndani 
Karangi fulani kalaini ka mkate
Tafuna burudani

Ameniweza na waist vuruga na chest
Ameumbika sio wa masihara
Usiombe ni-rotate kwa jinsi ulivyosexy
Body langu ni bishara

Namtia uchizi
I wanna make big man go mad
Make me crazy
Umeniweza umeniteka mazima

Mchizi noma yaani amenipakata
Ameniweka kwa kiganja amenikamata
Kwa msuruu na ameshajichomeka
Na zile zungusha anazungusha kula mikaa

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

[Fid Q]
Umenishika umenibamba na haulii chosha
Hata kama utaniita ganga nitaitika --
Nishikie pochi pata ule mwanga kwa kitochi
Am a big boss wengine shamba cha G kosh

Diva nimefurahia kukupata lazima wanikome
Kwa kwangu ni ka sheria inanifuata ili iniponye
Mipango ya kujiba hainiingii wala hainipendezi
Nishachomwa mwiiba hivo sifikirii kuwa mchembezi

Ati zako men na brand na finer, fimer
Gyal hawatawau wau wa
Kunipa murdercase najaribu my best(Sijielewi)
Kunipa murdercase najaribu my best(Sijielewi)

Mchizi noma yaani amenipakata
Ameniweka kwa kiganja amenikamata
Kwa msuruu na ameshajichomeka
Na zile zungusha anazungusha kula mikaa

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : The 4 Some/ Gugugaga (EP)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LULU DIVA

Tanzania

Lulu Diva is one of the leading female artist in Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE