Home Search Countries Albums

Nimerudi Lyrics


Ukweli wote nitakwambia
Yote yaliyonitokea
Ila pole sana kwa maumivu
Kwa majaribu ulopitia

Ndotoni sana ulinijia
Nikaona ka unanusia
Kwamba mi sichanganywi na dunia
Nyumbani nimeacha familia

Ona nilivypigika eeh
Mwili wote umeisha rotuba
Nishaingia hadi jela
Kisa kusaka mavumba oooh

Nilijotoa mhanga
Kwa yeyote kazi kufanya
Ili kujaza kibaba
Oooh

Kikubwa nililinda roho yangu
Siwapeshi na watoto wangu
Futa lako chozi mke wangu
Naiyooo

Nilikosea mke wangu
Unisamehe we na wanangu 
Futa lako chozi mke wangu
Oooh

Ila ila ila
Nimerudi tena aah
Ni heri tuwe family
Nimerudi tena aah

Unisamehe
Nimerudi tena aah
Oooh baby oooh
Nimerudi tena aah

Naweza sema nasamehe sawa yakapita
Ila uchungu na maumivu hayawezi futika
Hujaniumiza moyo tu umenidhalilisha
Na hujanitesa mimi tu na wa malaika

Wamelala njaa mara ngapi?
Kuchomwa jua, mvua yetu si kushuka shati
Huh nishapiga simu mara ngapi?
Nishapiga mpaka goti ukasema hunitaki

Eti leo, leo hii unaikumbuka familia kweli
Baada ya wanao kulelewa pale sheli
Kulelewa ferry unakula raha tunashangaa meli
Na leo ndo unarudi baada ya michongo kufeli

Ila nikupenda beiby 
Nilikuwa tayari 
Twende mdogo mdogo beiby

Kikubwa nililinda roho yangu
Siwapeshi na watoto wangu
Futa lako chozi mke wangu
Naiyooo

Nilikosea mke wangu
Unisamehe we na wanangu 
Futa lako chozi mke wangu
Oooh

Ila ila ila
Nimerudi tena aah
Ni heri tuwe family
Nimerudi tena aah

Unisamehe
Nimerudi tena aah
Oooh baby oooh
Nimerudi tena aah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nimerudi (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ADDAH

Tanzania

Addah is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE