Home Search Countries Albums

Nitazoea

LUKAMBA

Nitazoea Lyrics


Naona tamati ya mapenzi yetu imeisha vibaya
Haifanyi uwe mkamilifu kunisema vibaya
Na kama umarufu uliyoutaka si umeupata sawa
Na ile sadaka uwezi nilipa, atanilipa mola
Ata siamini imekuwa ghafla
Na moyo wangu umeuchachafya
Mara sabini ungenikataa
Ona leo umeniweka kwenye mkasa bila ya huruma
Si ndo ulisema utabaki na mimi inamaana ulinichora
Umekuwa gaidi umeniacha soloo

Basi ntazoea
Nitazoea
Basi ntazoea
Nitazoea

Umenikondesha umenizeesha mwaya nawe si unajua
Kuwa mbali na wewe sio poa
Umenipapresha, umenichezesha kwaya
Moyo unauchubua
Kukubali we uende sio dawa
Zanivuruga picha zako
Na ukutani bado sijazitoa
Ata taswira yako
Bado kichwani nayo sijaiondoa
Ata siamini imekuwa ghafla
Na moyo wangu umeuchachafya
Mara sabini ungenikataa
Ona leo umeniweka kwenye mkasa bila ya huruma
Si ndo ulisema utabaki na mimi inamaana ulinichora
Umekuwa gaidi umeniacha soloo

Basi ntazoea
Nitazoea
Basi ntazoea
Nitazoea

Ah we nenda salama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Nitazoea (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

LUKAMBA

Tanzania

Ashraf Haji Lukamba (born 24 February 1992), popularly known by his stage name Lukamba / Lukawise, h ...

YOU MAY ALSO LIKE