Home Search Countries Albums

Paparu

LOMODO

Paparu Lyrics


Nakupa salamu
Uhali gani vipi haujambo
Sote binadamu
Yale ya nyuma tuweke kando
Vipi familia
Na yule ndugu yakow a kando
Nakukumbuka sana ah
Kipenzi funzi mitambo
Tangu uliponiacha nilidata
Siwakula kulala
Mingi mikasa, nikavunja pakacha
Nikakosa mbadala ooh tabu
Mimi napitia na mingi misala
Kweli iliniteka moyo
Uliniachia majeraha

Hivi umekwenda haurudi, paparu papa
Nambie ulifanya kusudi , paparu papa
Mimi nalia sina budi, paparu papa
Why ulifanya maamuzi, paparu papa

Najitafakari sipati lipi kosa
Nilikosaga sikukutimizia
Chumvi suraki sio haba ulichotaka
Ulipotaka nilikupatia eh
Inamaana mimi nilipenda wewe
Ukafanya makuzi eh wee
Hauko siriazi kweli mapenzi
Ni ushenzi ushenzi
Tangu uliponiacha nilidata
Si wakula kulala
Mingi mikasa, nikavunja pakacha
Nikakosa mbadala
Ooh tabu minapitia
Na mingi misala
Kweli uliniteka moyo
Uliniachia majeraha

Hivi umekwenda haurudi, paparu papa
Nambie ulifanya kusudi , paparu papa
Mimi nalia sina budi, paparu papa
Moyo ulifanya maamuzi, paparu papa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Paparu (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

LOMODO

Tanzania

LOMODO is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE