Home Search Countries Albums

Happy Birthday

LETEIPA THE KING

Happy Birthday Lyrics


[VERSE 1]
Imagine tayari nilikuwa nishasahau,
Kwamba Leo ni siku ya kusherehekea,
Nivenye nimewa busy nikuhustle dooh…
Na picha yako sitaiweka kwa mitandao
Na u sidhani kwamba sikuwa na care
Nivenye safcom nina deni ya soo
 
[CHORUS]
Ningelikuwa na Pesa ningekubuyia Zawadi,
Nikupe wee my dear
Nikupeleke uingereza ukaone umaridadii,
Wa dunia
Imagine nimeshindwa kuafford hata kakadi,
kakukuwishia
Happy birthday jibambeee

Happy birthdaaaaaay ieieeeeeeh uwooooh uwoooh
 
[VERSE 2]
Nakuombea uishi zaidi ya miaka elfu moja
Ndo ujionee wajukuu Wako pamoja na vitukuu
Uwaeleze tulivyosaidiana, kama masoldier
Nakutoana machozi kama tumela vitunguu
 
[CHORUS]
Ningelikuwa na Pesa ningekubuyia Zawadi
Nikupe wee my dear
Nikupeleke uingereza ukaone umaridadii,
Wa dunia
Imagine nimeshindwa kuafford hata kakadi,
kakukuwishia,,
Happy birthday jibambeee
 
Happy birthdaaaaaay ieieeeeeeh uwooooh uwoooh
Happy birthdaaaaaay ieieeeeeeh uwooooh uwoooh

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Happy Birthday (Single)


Added By : Kelvin Leteipa

SEE ALSO

AUTHOR

LETEIPA THE KING

Kenya

Vampk254 also known as Leteipa the King is an Afro pop music artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE