Home Search Countries Albums

Fuliza Lyrics


Nilikutunza kama mboni
Kama walenje mfukoni
Nilikupenda sana Wewe
Kisha ukaniacha mwenyewe
Kidonda changu hakiponi
Nakutafuta sikuoni
Kumbe ulibebwa na mwewe, ukaniachia kiwewe
Na kale kamia, Ulinitupia
Sijakatumia bado nakaangalia
Nikifikiria vile ulinichukulia
Kama sufuria ama kama ligunia
Nilikupa kila kitu, vya nje mpaka vya ndani
Nawe ukanipa jipu, kupona Mi sidhani
Ni kweli nahisi wivu, kukuona kwa Fulani
Penzi lishakuwa jivu, kuni ziliisha zamani

(Nine choke kuwa nawe,) my confidence
(Nawe ,) my self esteem
(Nawe , ) my holyness
(Nawe,) My future dream
(Nawe) My only space
(Nawe) My golden blings
(Nawe) Zote umezifuliza
(Nimechoka kuwa Nawe) Nirudishie ring yangu
(Nawe) hata kambuzi ketu kana kidole
(Nawe) bora nidate simu tangu
(Nawe) itanitreat better nipone

Nilikuenzi ka Kiba kwa Cinderella
Nikakupa penzi, kumbe ulichojali ni hell
Nikuhonge benz , magari ka ya telenovela
Na sina Centi kapuku kama mfungwa jela
Ila moyo wangu Nilikupa uniwekee
Ukaondoka na kuniachia upweke
Heartbroken moyoni Mi niteseke
Huku na kule Beshte zako wanicheke
Na kale kamia, Ulinitupia
Sijakatumia bado nakaangalia
Nikifikiria vile ulinichukulia
Kama sufuria ama kama ligunia

(Nine choke kuwa nawe,) my confidence
(Nawe ,) my self esteem
(Nawe , ) my holyness
(Nawe,) My future dream
(Nawe) My only space,
(Nawe) My golden blings
(Nawe) Zote umezifuliza
(Nimechoka kuwa Nawe) Nirudishie ring yangu
(Nawe) hata kambuzi ketu kana kidole
(Nawe) bora nidate simu tangu
(Nawe) itanitreat better nipone
(Nimechoka kuwa nawe) kweli Haya ni mapenzi ama uhusiano wa kibiashara
(Nawe) Kila mwisho wa mwezi nikupe tayari kukupa mshahara
(Nawe) Nimechoka siezi tazama mwenzako nilivyoparata
(Nawe) Miaka yangu Ni michache lakini tayari nishatoka kipara

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Fuliza (Single)


Added By : Kunta

SEE ALSO

AUTHOR

LETEIPA THE KING

Kenya

Vampk254 also known as Leteipa the King is an Afro pop music artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE