Home Search Countries Albums

Baki na Mimi

LETEIPA THE KING

Baki na Mimi Lyrics


Kukutazama ukitabasamu
Nika kuwatch movie za Afro
Siwezi boeaka
We ndo kitabu mi ndo kalamu
Niliumbwa kwa ajili yako
Kama masai na rubeka

Ninatamani ningewa yako mavazi
Ungewa si ua ama kasupu ka mbaazi
Ningewa sembe mukimo ama chapati

Baki na mimi, na mimi
Kipenzi, kipenzi
Nikushughulikie aah
Kila asubuhi, nirauke ili nikupikie

Nikuogeshe, ogeshe
Nikuvishe, vishe
Mpaka uvutie aah
Kamba za viatu beiby, mi nikufungie

Baki na mimi
Nitang'ang'ana nikue chochote ambacho unatamani
Oooh baki na mimi
Nitakonda utavimba, utakopa nitalipa mama

Baki na mimi
Naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
Oooh baki na mimi
Ukisota nitaiba, utapona na tiba mama
Baki na mimi!

Na kama ungewa, mwanasiasa
Ningepiga campaign zako 
Nikusifie, kwa giza  na mwangaza
Mpaka kwa maadui zako mmmh

Nitakubusu bila uoga hadharani
Ili wajue wewe ndo wangu mwandani
Ningewa kijiko lazma ungewa sahani
Kututenganisha hilo haliwezekani

Baki na mimi, na mimi
Kipenzi, kipenzi
Nikushughulikie aah
Kila asubuhi, nirauke ili nikupikie

Nikuogeshe, ogeshe
Nikuvishe, vishe
Mpaka uvutie aah
Na ukichoka nikubebe, wivu wasikie

Baki na mimi
Nitang'ang'ana nikue chochote ambacho unatamani
Oooh baki na mimi
Nitakonda utavimba, utakopa nitalipa mama

Baki na mimi
Naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
Oooh baki na mimi
Ukisota nitaiba, utapona na tiba mama
Baki na mimi!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Baki na Mimi (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LETEIPA THE KING

Kenya

Vampk254 also known as Leteipa the King is an Afro pop music artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE