Home Search Countries Albums

Uwiu

BARNABA

Uwiu Lyrics


Back to the left
Back to the right

Nilispend muda mwingi kukupata
Haikuwa rahisi nilisuffer
Shimo nililochimba
Kina kirefu sana mpenzi

Mtaani wanajiitaga majuba
Kazi ndoa za watu kuvuruga
Chunga chunga sana
Maneno kama spanner mpenzi

Back to the left
Back to the right
This is the label

Aki sikubali, si tumetoka mbali
Hawaijui safari ooh
Si tumepewa kibali na mwenyezi maanani
Mie tamu yako halali, ooh
Nimekupenda uwiu
You flex like a uwiu
My baby wangu uwiu

You such a beauty uwiu
You flex like a uwiu
I love ladies uwiu

Kipi mnachouliza nikiwa kwa yangu line
Choko choko za nini wakati tuko fine
Umbea mnamaliza bando niwaambie
The way she is my family

Sipendi kuona watu wanaandamana
Kusema vyangu na wangu visio na maana
Kusiriba tu, ooh yeah

Msidhani kama kaja kwangu kajileta tu
Nilisuffer mchana na usiku
Maana penzi lake bora na nusu

Maneno tusiwape
Mungu atujalie one day
Shuba mute wale
Bahari yetu wasiogelee

Si tumepewa kibali na mwenyezi maanani
Mie tamu yako halali, ooh
Nimekupenda uwiu
You flex like a uwiu
My baby wangu uwiu

You such a beauty uwiu
You flex like a uwiu
I love ladies uwiu, ooh

(Lizer on the Mix)
My baby uwiu
I love you uwiu
You such an uwiu ooh

My baby uwiu
You're amazing uwiu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Refresh Mind (Album)


Copyright : (c) 2020 Hightable Sounds.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BARNABA

Tanzania

Barnaba Classic is a singer, song writer and producer  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE