Home Search Countries Albums

Chorus

LADY JAYDEE

Chorus Lyrics


Bongo ee, Bongo Dar es Salaam
Kaa chonjo wee, ndani ya Dar es Salaam
Utalia lia lia, ndani ya Dar es Salaam

Sema unachoweza (Mambo ya fedha)
Fanya unachoweza (Mambo ya fedha)
Mbona unashangaa mambo ya fedha hee

Sema unachoweza (Mambo ya fedha)
Fanya unachoweza (Mambo ya fedha)
Mbona unashangaa mambo ya fedha hee

Tilalila lila hii ninayo kupa ni hali halisi
Tilalila lila sisi na wanyalu tunavyoishi
Tilalila lila hii ninayo kupa ni hali halisi
Tilalila lila sisi na wanyalu tunavyoishi

Macho ni kama watu, mioyoni hawana utu
Ila inatoweka, mabaya yanaongezeka 
Macho ni kama watu, mioyoni hawana utu
Mabaya yanaongezeka 

Ama zangu ama zao wakibana wataachia
Wakiziba wakitega we tegua sema nao
Ama zangu ama zao wakibana wataachia
Wakiziba wakitega we tegua sema nao

Kumbe ni waongo wao wenyewe ndo wanaowatokea
Kama ni dem sikiliza, kama unaswali uliza
Hata kama sijamaliza, ah ah sikiliza 
Kama ni dem sikiliza, kama unaswali uliza
Hata kama sijamaliza, ah ah sikiliza 

We wako utukufu wako
Amen Amen Baba Amen

Msiache kuongea ongeeni mnavyoweza
Kila mnapoongea sifa zinaongezeka
Msiache kuongea ongeeni mnavyoweza
Kila mnapoongea sifa zinaongezeka

To be with you I feel like 
Am on top of the world
And I wanna stay
Just like Kilimanjaro mountain

To be with you I feel like 
Am on top of the world
And I wanna stay
Just like Kilimanjaro mountain

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : 20 (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LADY JAYDEE

Tanzania

Lady Jaydee also known as Binti Machozi, real name Judith Wambura is a recording artist from Tanzani ...

YOU MAY ALSO LIKE