Chorus Lyrics

Bongo ee, Bongo Dar es Salaam
Kaa chonjo wee, ndani ya Dar es Salaam
Utalia lia lia, ndani ya Dar es Salaam
Sema unachoweza (Mambo ya fedha)
Fanya unachoweza (Mambo ya fedha)
Mbona unashangaa mambo ya fedha hee
Sema unachoweza (Mambo ya fedha)
Fanya unachoweza (Mambo ya fedha)
Mbona unashangaa mambo ya fedha hee
Tilalila lila hii ninayo kupa ni hali halisi
Tilalila lila sisi na wanyalu tunavyoishi
Tilalila lila hii ninayo kupa ni hali halisi
Tilalila lila sisi na wanyalu tunavyoishi
Macho ni kama watu, mioyoni hawana utu
Ila inatoweka, mabaya yanaongezeka
Macho ni kama watu, mioyoni hawana utu
Mabaya yanaongezeka
Ama zangu ama zao wakibana wataachia
Wakiziba wakitega we tegua sema nao
Ama zangu ama zao wakibana wataachia
Wakiziba wakitega we tegua sema nao
Kumbe ni waongo wao wenyewe ndo wanaowatokea
Kama ni dem sikiliza, kama unaswali uliza
Hata kama sijamaliza, ah ah sikiliza
Kama ni dem sikiliza, kama unaswali uliza
Hata kama sijamaliza, ah ah sikiliza
We wako utukufu wako
Amen Amen Baba Amen
Msiache kuongea ongeeni mnavyoweza
Kila mnapoongea sifa zinaongezeka
Msiache kuongea ongeeni mnavyoweza
Kila mnapoongea sifa zinaongezeka
To be with you I feel like
Am on top of the world
And I wanna stay
Just like Kilimanjaro mountain
To be with you I feel like
Am on top of the world
And I wanna stay
Just like Kilimanjaro mountain
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : 20 (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
LADY JAYDEE
Tanzania
Lady Jaydee also known as Binti Machozi, real name Judith Wambura is a recording artist from Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE