Home Search Countries Albums

Nibebe

KUSAH Feat. BARNABA

Nibebe Lyrics


Mmmh uyee, ulalala uyee
Mmmh mmmh
(Mafia)

Labda mbingu na dunia
Vije vishikane wabadili mchana
Uwe usiku wa manane

Wakitaka tuachane
Watupige mapanga
Baby tufe tuzikane

Si unajua nakujua
Sasa Walimwengu
Mimi wataniambia nini?

Na wakitaka kukuambia
Waambie baby we ndo unanijua mimi
Na vile vipengele si ungehama

Ningeingia maji ningezama
Walikuvua nguo ukachutama
Ukasema huniachi ukang'ang'ana
Na mimi ee

Penzi ni kama kamari
Tucheze hakuna dosari
Tena hakuna kujali 
Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari
Wapambe wakae mbali
Tucheze tujivinjari oo

Penzi ni kama kamari
Tucheze hakuna dosari
Tena hakuna kujali 
Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari
Wapambe wakae mbali
Tucheze tujivinjari oo

Oooh lala
Basi nibebe nibebe (Unibebe)
Nibebe nibebe (Ah nimechoka)
Basi nibebe nibebe
Mmmh unibebe nibebe 

Unibebe nibebe nibebe
Kwa kila hali nibebe
Wambea hawaishi maneno nibebe
Nibebe, nibebe nibebe

Nawaza nikutunukie tuzo
Tumeshinda vikwazo tangu mwanzo
Si rahisi mami love 
Kushindania umaneno

Wanatamani nikudharau
Niseme nimepanda dau
Kisa nikusahau wewe

Wangemiliki mbuga
Wangeshatufukuza 
Kama wanyama ndege

Tule mihogo tule dagaa
Ugali wa kuchoma na vinguruka
Tuishi vile tunavyotaka
Binadamu hatuwezi kuwaridhisha

Penzi ni kama kamari
Tucheze hakuna dosari
Tena hakuna kujali 
Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari
Wapambe wakae mbali
Tucheze tujivinjari oo

Penzi ni kama kamari
Tucheze hakuna dosari
Tena hakuna kujali 
Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari
Wapambe wakae mbali
Tucheze tujivinjari oo

Oooh lala
Basi nibebe nibebe (Unibebe)
Nibebe nibebe (Ah nimechoka)
Basi nibebe nibebe
Mmmh unibebe nibebe 

Unibebe nibebe nibebe
Kwa kila hali nibebe
Wambea hawaishi maneno nibebe
Nibebe, nibebe nibebe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nibebe (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KUSAH

Tanzania

Kusah is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE