Home Search Countries Albums

Najua

KUSAH

Najua Lyrics


Mmmh baby, hivi ni wewe
Mmmh ni wewe
Hata siamini kama ni wewe
Mmmh ni wewe

Niliona huku  mbona ni aibu
Mbona sina kosa unaniadhibu
Unafanya haya unanisulubu
Si ungesema kwamba baby najaribu
Ningewaza ningepata hata majibu
Mbona umeniweka kwenye majaribu
(Kusah mbona sikuelewi?)

Utanielewa si ulilewa
Walichotaka tiyari wamefanikiwa
Umenidhalilisha

Kufanya nimekuelewa
Mimi mwelewa
Je ningekuwa mimi wewe ungenielewa
Umeninyong'onyesha (Dah unanichanganya)

Ukiwa nyumbani boo, unanijaza tu
Eti ni mimi tu niko mwenyewe
Super makongo juu, kwa mume mwezangu
Unanikatili

Mwambie vya kuiba, kwa ndani vina miiba
Mi mwanaume mwenzie ananiumiza
Si ungemwambia kwao, kwako sijiwezi umenifunga kamba
Nimekubali kwamba, yeah nikidunda umenishinda mwamba
Na yule wa mbezi dalali si umetoka naye
Wala mi sina shida naye
Ila jua nini jua

Na yule bodaboda kala uroda kakuroga eh
Umenidhalilisha dada wee, mmmh

Mbona umefanya vibaya baby wee
Umenikatili
Ilegeza baya hunnie wee
Umezima kandili mmmh

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Najua (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KUSAH

Tanzania

Kusah is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE