Home Search Countries Albums

Chekecha

KING BIBO Feat. BRIGHT

Chekecha Lyrics


King Bibo ft Bright - Chekecha lyrics

Wanaona tunafanikiwa hawajui tunaanzaje
Wanachukia wasichojua tumepataje
Hawakuwepo mwanzao watatujuaje
Nakupenda kukuwacha sijui itakuwaje

Wanaitamani siku tukijifungia ndani
Waone tunaicheza michezo gani
Inawakera wanaisaka tafrani
Watuzushie tutibuane kama ngomani
Nikijituma kutoa hali yenye kutia huruma
Wanaleta hujuma kilio chao hawanioni
Nikirudi nyuma watasubiri sana 
Ndio kwanza naunguruma

Fumba macho fumba sikio
Maneno yao usisikie
Moyo wako ufanye chojio
Sumu zao zisikuingie

Pumba chekecha, tuwe chekecha
Chekecha chekecha
Maneno chekecha, sumu chekecha

Wanadhania penzi letu bahati yandondokea
Wamepotea na kwetu hawana sera
Tunapepea tukapo yetu bendera 
Na Wakituchukia tunacheza wantarambera

Tunafurahi, tunajidai
Hata siku tunazo shindia chai
Wanaona hatung'ai pesa haijai
Ndo wanavyopenda maisha yatutoe nishai

Tabasamu lako lina niongezea motisha
Nisizubae nizidi kuyafanikisha
Nahakikisha kukupenda na kukuridhisha
Wanaona pcicha tunavyo yatoboa maisha

Fumba macho fumba sikio
Maneno yao usisikie
Moyo wako ufanye chojio
Sumu zao zisikuingie

Pumba chekecha, tuwe chekecha
Chekecha chekecha
Maneno chekecha, sumu chekecha

Basi nipe mapenzi, mmmh aah mmh aah
Oooh aaah, oooh aah
Nizidishie mapenzi, mmmh aah mmh aah
Oooh aaah, oooh aah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Chekecha (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KING BIBO

Tanzania

King Bibo is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE