Nafsi Yangu Lyrics

Nafsi yangu mtumainie bwana
Uvumilivu usikushinde, bwana awe tegemeo
Kama vile Enoka , nyayo zako nizifwate
Nakuhitaji bwana nenda nami
Nafsi yangu mtumainie bwana
Uvumilivu usikushinde, bwana awe tegemeo
Kama vile Enoka , nyayo zako nizifwate
Nakuhitaji bwana nenda nami
Nakutegemea wewe mlinzi wangu
Unilinde vyema,uniongoze
Fariji nasfi yangu kwa kunitia nguvu
Nisimame nawe bwana..milele daima
Kivuli cha kiti chako ndio ngome yangu
Watosha mkono wako, ni ulizi wangu
Nafsi yangu, nakutazamia
Nitakwenda, nawe Yesu
Mkono wangu, uushike
Unene nami kwa upole
Niwe nawe bwana safarini
Nakutegemea wewe mlinzi wangu
Unilinde vyema, uniongoze
Fariji nasfi yangu kwa kunitia nguvu
Nisimame nawe bwana..milele daima
Nakutegemea wewe mlinzi wangu
Unilinde vyema, uniongoze
Fariji nasfi yangu kwa kunitia nguvu
Nisimame nawe bwana..milele daima
Nakutegemea wewe mlinzi wangu
Unilinde vyema, uniongoze
Fariji nasfi yangu kwa kunitia nguvu
Nisimame nawe bwana..milele daima
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Nafsi Yangu (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE