Huru Kwa Pendo Lyrics

Nikitafuta amani, nilipata upendo
Nikitafuta msamaha wa dhambi, nikapata neema (neema)
Kiburi kiliponipanda
Na kudhani nitaweza pekee yangu
Nguvu za msalaba, kanionyesha pendo la Yesu
Na sasa ni huru. kwa pendo la Yesu
Damu yake yatosha, Nina raha moyoni (mpende)
Jirani yako, usimpe shetani nafasi
Onyesha pendo la Yesu.. bwana habagui
Na sasa ni huru. kwa pendo la Yesu
Damu yake yatosha, Nina raha moyoni (mpende)
Jirani yako, usimpe shetani nafasi
Onyesha pendo la Yesu.. bwana habagui
Je watafuta amani?
Kwake kuna amani
Msamaha wa dhambi zako...mpendwa utapokea
Zilete chini ya msalaba wake
Zitue pale..Raha ya kweli utapata..Miguuni pa Yesu
Na sasa ni huru. kwa pendo la Yesu
Damu yake yatosha, Nina raha moyoni (mpende)
Jirani yako, usimpe shetani nafasi
Onyesha pendo la Yesu.. bwana habagui
Na sasa ni huru. kwa pendo la Yesu
Damu yake yatosha, Nina raha moyoni (mpende)
Jirani yako, usimpe shetani nafasi
Onyesha pendo la Yesu.. bwana habagui
Na sasa ni huru. kwa pendo la Yesu
Damu yake yatosha, Nina raha moyoni (mpende)
Jirani yako, usimpe shetani nafasi
Onyesha pendo la Yesu.. bwana habagui
Na sasa ni huru. kwa pendo la Yesu
Damu yake yatosha, Nina raha moyoni (mpende)
Jirani yako, usimpe shetani nafasi
Onyesha pendo la Yesu.. bwana habagui
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Huru Kwa Pendo (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE