Mapenzi Yanauma Lyrics

Nimebadili mishitwa...
Nimebadili mishitwa wapi nitaweka sura yangu
Samaki mbichi nimesahau kumpinda
Amejirudi imekuwa hasara kwangu
Oooh hasidi hasidi, hana sababu hata akisingizia
Lazizi mkaidi, atafaidi ladha siku za dhiki
Najifosi nisikate tamaa
Na kupenda changu inaniuma
Kinachoniuma wuda wuda
Nimepoteza we hapa ni unda
Agaye akanizidi nilipozama wiu wiu wiu
Nimenyauka waridi kwa kumwagiwa acidi
Jamani mapenzi yanauma
Mapenzi yanauma
Ooh mapenzi yanauma
Mapenzi yanaumaa
Bora ungekuwa mkanda DVD nyuma ningerudisha
Ulinifanya siambiliki sisikii yaani ukaniviringisha
Nimeamini mapenzi kuna namna ameungana na nyama
Hisia za nipeleke siwezi, kumbukumbu zangandamana
Najifosi nisikate tamaa
Na kupenda changu inaniuma
Kinachoniuma wuda wuda
Nimepoteza we hapa ni unda
Agaye akanizidi nilipozama wiu wiu wiu
Nimenyauka waridi kwa kumwagiwa acidi
Jamani mapenzi yanauma
Mapenzi yanauma
Ooh mapenzi yanauma
Mapenzi yanaumaa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Sweet Pain (EP)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
KAYUMBA
Tanzania
Kayumba Asosie is a singer/songwriter / artist from Tanzania. He is best known for love so ...
YOU MAY ALSO LIKE