Natamani Lyrics

Yamenipiga juju penzi vunja chungu inauma (Inauma)
Umenifanya zuzu, umenipe machungu kaka kuona
Kweli we ndo yule, ulokuwa ukilala kifuani unasinzia
We ndo yule ulikuwa ukichelewa nyumbani unalia
Ni sawa bubu hasemi
Ila kusikia anasikia
Ni sawa kipofu haoni
Ila kusikia anasikia
Ah ulizifuga zangu mboni
Macho nikaweka panzia
Oh nah nah wouwoo
Nakesha sana kwa sangoma
Nashindwa lala kukoroma
Natamani kukuona nikuone tena
Nakesha sana kwa sangoma
Nashindwa lala kukoroma
Natamani kukuona nikuone tena
Natamani, urudi mama
Natamani, urudi tena
Natamani, rudi mapema
Natamani ooh mama
Natamani, urudi mama
Natamani, urudi tena
Natamani, rudi mapema
Natamani ooh mama
Ni kama umezima mshumaa
Koroboi haina mafuta
Sioni pa kupapasa
Mapema umekata tamaa
Na tama lizoee njaa
Ni kweli umenichoka
Ni kama Kusah na Ruby
Umeshafanya kusudi
Kuniumiza kuniumiza
Mmmh imekuwa ya Vanny na Jux
Hivi kweli hukumbuki
Unaniumiza, unaniumiza
Nakesha sana kwa sangoma
Nashindwa lala kukoroma
Natamani kukuona nikuone tena
Nakesha sana kwa sangoma
Nashindwa lala kukoroma
Natamani kukuona nikuone tena
Natamani, urudi mama
Natamani, urudi tena
Natamani, rudi mapema
Natamani ooh mama
Natamani, urudi mama
Natamani, urudi tena
Natamani, rudi mapema
Natamani ooh mama
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Natamani (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE