Accueil Recherche Pays Albums

Kamwambie

KAYUMBA

Kamwambie Lyrics


Muulize anataka nini?
Nimwombe Mungu wangu ampatie
Mimi hoi masikini
Hali yangu mwenzangu na mie

Ningekuwa na uwezo
Ningempa dunia amiliki
Eeh ajue nampenda 
Penzi pembe la ng'ombe halifichiki

Eeh kamwambie, siku hizi mapenzi hakuna
Wale wengi wanatamanio
Mwambie nateketea mshumaa
Mwenye penzi la kweli anidhamanie

Siku hizi mapenzi hakuna
Wale wengi wanatamani oo
Mwambie  nateketea mshumaa
Mwenye penzi la kweli anidhamanie

Afanye pole pole (Naumia roho)
Pole pole, naumia naumia
Ah chonde chonde, kamwambie
Chonde chonde

(Yeye ndo nusura wa ndoto zangu)

Akisema hanitaki nahisi itapulizwa parapanda
Mwisho mwisho wa dunia, maisha inashuka na inapanda
Akisema hanitaki nahisi itapulizwa parapanda
Mwisho mwisho wa dunia, maisha inashuka na inapanda

Sikiliza na uende ukamwambie
Moyo wangu wa mtumba chonda asinusie
Fundi geneza lisinifukie
Mapenzi yanauma asisikie

Eeh kamwambie, siku hizi mapenzi hakuna
Wale wengi wanatamanio
Mwambie nateketea mshumaa
Mwenye penzi la kweli anidhamanie

Siku hizi mapenzi hakuna
Wale wengi wanatamani oo
Mwambie  nateketea mshumaa
Mwenye penzi la kweli anidhamanie

Afanye pole pole (Naumia roho)
Pole pole, naumia naumia
Ah chonde chonde, kamwambie
Chonde chonde
(Yeye ndo nusura wa ndoto zangu)

(Mafia)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Kamwambie


Copyright : (c) 2020 B.K.Q Entertainment.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KAYUMBA

Tanzanie

Kayumba Asosie is a singer/songwriter / artist from Tanzania. He is best known for love so ...

YOU MAY ALSO LIKE