Bash Lyrics
Si ni bash, mokoro alicheza na keki
Si ni bash, mamorio sai waitane
Si ni bash, nataka watu wajibambe
Si ni bash, bash bash bash
Si ni bash, mokoro alicheza na keki
Si ni bash, mamorio sai waitane
Si ni bash, nataka watu wajibambe
Si ni bash, bash bash bash si ni bash
Mi kirao nadungisiwa na Kappy
Kam na Uber sherehe tukisnadi
Na usikose kuchanua Smaddy
Leo lazima tutakuwa inadi
Niko gwatha on point ndo nakafi
Kwa parade vile niko na unasty
Kuterrorize kuwaweza tu mjasty
Vitu true ndo nafanya kutangaza
Si ni bash, mokoro alicheza na keki
Si ni bash, mamorio sai waitane
Si ni bash, nataka watu wajibambe
Si ni bash, bash bash bash
Si ni bash, mokoro alicheza na keki
Si ni bash, mamorio sai waitane
Si ni bash, nataka watu wajibambe
Si ni bash, bash bash bash si ni bash
Starehe ya kwetu ni venye tunaronganga
Na starehe ya kwetu ni venye si huwabamba
Na starehe ya kwetu ni venye tunatakanga
Na venye si huwabamba ndo starehe si hutakanga
Ni bash nataka watu wajibambe
Ju ni bash mzinga ziko zote zote
Na mashash leo lazma tusere
Nataka majirani wote watete
Si ni bash, mokoro alicheza na keki
Si ni bash, mamorio sai waitane
Si ni bash, nataka watu wajibambe
Si ni bash, bash bash bash
Si ni bash, mokoro alicheza na keki
Si ni bash, mamorio sai waitane
Si ni bash, nataka watu wajibambe
Si ni bash, bash bash bash si ni bash
.....
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Bash (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
KAPPY
Kenya
Kappy aka 'The Lyrical Doctor' is a Gengeton artist from Kenya, Kappy is a member of&nb ...
YOU MAY ALSO LIKE