Tantarira Lyrics

Excuse me
Nimepata kampenzi
Ananipa raha nyingi
Na kunienzi
Excuse me
Nimepata kampenzi
Ananipa raha nyingi
Na kunienzi
Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia
Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia
Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Umenogewa sitoki kwako
Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Umenogewa sitoki kwako
Umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
Umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
Umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
Umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
Hapendi nikiwa na stress
Anapenda nikitabasamu
Anipa mapenzi moto moto
Hapendi nikiwa na stress
Anapenda nikitabasamu
Anipa mapenzi moto moto
Anajua kunipa ham
Mwishowe matam tam
Hajafeli ni wa ukweli
Napata daily
Yeye kwangu ni daktari
Tiba yake nakubali
Hajafeli ni wa ukweli
Napata daily
Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia
Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia
Nimeshiba sina njaa
Kila siku raha
Kwake si karaha
Ananipenda kila saa
Sitomnyanyanya paa
Popote tutapaa
Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Umenogewa sitoki kwako
Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Umenogewa sitoki kwako
Umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
Umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
Umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
Umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Tantarira (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
JOVIAL
Kenya
Jovial , whose real name is Juliet Miriam Ayub is a Kenyan entertainer, singer, songwriter, vocalist ...
YOU MAY ALSO LIKE