Home Search Countries Albums

Harusi

JOVIAL Feat. WYSE

Harusi Lyrics


Harusi ni ya Mola eh, hee
Leo nalikamilisha aah
Ubachela kwaheri, kwaheri
Nabadilisha maisha, aah

Umenipa maruani, hata siamini
Umenikubali
Umejua kuniheshimisha mbele ya waumini
Umefunua umwari

Mashallah, mejaliwa uzuri 
Wa sura na tabia, aah tena
Hee wallah, tulizungushe bakuli
Wenye nacho kuchangia, aah aah

Leo naoa, naoa
Naoa mie 
Leo naoa, naoa
Naoa mie 

(Mmmm mmmh mmh)

Machozi ya furaha yananitiririka
Yaani kama ni kama mazihara, naolewa mie 
Zichepuke balaa, umeniona mimi mbele ya wengi
Umenipa ushujaa, nitake nini mie?

Watu wamependeza, ona wanavyocheza 
Baba umeniweza, ng'ang'ania
Mashallaah hujajaliwa kiburi
Usemacho wasikia, aah ah

Hee wallah, tulizungushe bakuli
Wenye nacho kuchangia, aah aah

Leo naolewa, naolewa
Naolewa mie 
Leo naolewa, naolewa
Naolewa mie 

Wale wa ubwabwa 
Wamekamata matonge matonge
Leta champagne
Tugoganishe vikombe vikombe

Ah kule wa kucheza
Wanazungusha miuno si --
Leo ni kushiba 
Tutoke ndani vibonge vibonge

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Harusi


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JOVIAL

Kenya

Jovial , whose real name is Juliet Miriam Ayub is a Kenyan entertainer, singer, songwriter, vocalist ...

YOU MAY ALSO LIKE