Raha Lyrics

Hali yangu doro, twashindia viporo
Penzi letu mwororo, sioni hata kasoro baby
Nashuhudia waja wakituandama
Maneno mengi wanaleta fitina
Sio kama tumeanza jana
Kwa jinsi tunavyopendana
Havai vigodoro
Mwali anichezesha dombolo
Na masolo solo
Wanaepata kero baby
Utu wake mali yangu
Ye chai mi mkate
Yaani nampa vyote
Vyote vyote tamu yake my wangu
Ye ndo doctor wa moyo wangu
Wa maradhi yote ananipa vyote
Vyote vyote kamaliza haja zangu
Ananipa raha mtoto ananipa raha
Ananipa raha mtoto ananipa raha
Ananipa raha mtoto ananipa raha
Ananipa raha mtoto ananipa raha
Amenikanja kanja hoi sijiwezi City man
Anakunja kunja hoi safarini kilimani
Akizima koroboi, akibana sichomoi
Asa naenjoy, njoy
Mara niko Dubai na mtoto
Twakula na mapochopocho
Nikirudi na nyumbani nampa kimoko
Burudani motomoto
Havai vigodoro
Mwali anichezesha dombolo
Na masolo solo
Wanaepata kero baby
Utu wake mali yangu
Ye chai mi mkate
Yaani nampa vyote
Vyote vyote tamu yake my wangu
Ye ndo doctor wa moyo wangu
Wa maradhi yote ananipa vyote
Vyote vyote kamaliza haja zangu
Ananipa raha mtoto ananipa raha
Ananipa raha mtoto ananipa raha
Ananipa raha mtoto ananipa raha
Ananipa raha mtoto ananipa raha
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Raha (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
CITYBOY
Kenya
CityBoy also known as Bawazir, is an Award winning Best New Artist hailing from Mombasa Kenya. ...
YOU MAY ALSO LIKE