Home Search Countries Albums

Nakuamini Lyrics


Hata tusipokuamini
Wewe utabakia wa kuaminiwa
Heri mimi kukuamini
Maana umedhibitika wa kuaminiwa

Hakuna mtihani ule uliitwa
Kwako ukakosa jibiwa
Na hakuna jibu ulotoa
Likakosa jitosheleza

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kipofu kwa fimbo yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kichanga kwa mama yake

Kuna wakati ulinisubirisha
Nusura nikate tamaa
Nikakumbuka wako wema
Imani yangu ikainuka

Kumbe ulikuwa waniimarisha
Hatua zangu kuzisogeza
Sasa mwendo nimeuanza
Na imani yangu kwako imesimama

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kipofu kwa fimbo yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kichanga kwa mama yake

Naamini nguvu zako
Naamini uwezo wako
Upendo ni sifa yako

Naamini kazi zako
Naamini neno lako
Na yote uyafanyayo

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kipofu kwa fimbo yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kichanga kwa mama yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kipofu kwa fimbo yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kichanga kwa mama yake
Sitakuacha ehe 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mwamba (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JESSICA HONORE

Tanzania

Jessica Honore Kaziri is a gospel singer /vocalist from Tanzania. She comes from a musical ...

YOU MAY ALSO LIKE