Turudiane Lyrics

Onaa naaa nana nanaaaah
Anaitwaje uyo jay
Jay once again
Nilikukosea naomba unisamehe
Nishajionea kwamba sina lolote
Bila wewe siwezi endelea
Naomba tuendelee
Yalikua matamu mapenzi yetu
Yalikua super aaah
Ex dua gani uliyoisoma ah
Kama ndo chamoto nimekiona
Aku siwezi
Kujifanya niko sawa kumbe inachoma
Inaumiza
Nimeshindwa kukaza
mwanzako natakaa
Turudiane
Mwenzio nataka
Turudiane
Mwenzako nataka aah
Turudiane
Mwenzio nataka
Turudiane
Once again
Saa sita saa saba usiku
Nitakupigia nna kitu
Nawe pokea japo tu
Nikuongeleshe kakitu
Huku nje kila mtu wa mtu
Nishakua single masiku
Basi nielewe kiduchu
Tumalize hili beaf
Ex dua gani uliyoisoma ah
Kama ndo chamoto nimekiona
Aku siwezi
Kujifanya niko sawa kumbe inachoma
Inaumiza
Nimeshindwa kukaza
mwanzako natakaa
Nimeshindwa
Ku move on
Nimeshindwa
Ku move on
Hata siwezi
Ku move on
Wanawezaje
Ku move on
Ex dua gani uliyoisoma ah
Kama ndo chamoto nimekiona
Aku siwezi
Kujifanya niko sawa kumbe inachoma
Inaumiza
Nimeshindwa kukaza
mwanzako natakaa
Turudiane
Mwenzio nataka
Turudiane
Mwenzako nataka aah
Turudiane
Mwenzio nataka
Turudiane
Once again
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2025
Album : (Single)
Copyright : @2025 Jay Melody All rights reserved
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
JAY MELODY
Tanzania
Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...
YOU MAY ALSO LIKE