Accueil Recherche Pays Albums

Nitasema

JAY MELODY

Nitasema Lyrics


Si unitoke hata mara moja
Akilini mwangu oh mara moja
Ninayopitia ni kama umeniroga
Haya mapenzi yaamenipa gonjwa
Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel

Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me

Ooh
Na vitu vyako vinachanganya oh
Unugusapo kwisha mwenzio oh
Your magnet oh, unanivuta hapo
Utanitoa roho, jamani
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah mmmh
Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel

Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me

Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Nitasema (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

JAY MELODY

Tanzanie

  Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...

YOU MAY ALSO LIKE