Home Search Countries Albums

Sina Lyrics


Wasaaafi
Ayooo Laizer
Hhhm hhhm
Ujana ni maji ya moto
Yashaniunguza mi nataketea
Niliwakana watoto wangeniuguza sikutegemea
Na kama dunia tambala langu lishatoboka
Sina hata pa kulala nakesha kwa Kimboka
Wale marafiki niliokula nao
Na kunisifu sasa siwaoni
Eti sina kiki siendani nao kwa kuwa sina kitu mfukoni
Kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
Nikakesha kula bata najisahau
Na kumwaga radhi
Ohh sina(ooh yani sina)
Ohh sina(wa kunipa imani)
Ohh sina(ooooh sina mama)
Oooh sina
Iyeyeee
Ohh sina(hata wa kunifariji)
Ohh sina(kunipa moyo niendelee)
Oooh sina(Oooh sina mama)
Ohhh sina
Oooiyee
Hhmm
Asiyefunzwa na mama hufunzwa na dunia
Misemo ya wahenga
Family ndugu lawama
Sikutaka karibia kwangu
Nipokee
Ponda mali eti kufa kwaja
(Heheheeee)
Kumbe nivukako mbali navunja daraja
Jua likizama nafsi nanyongea mawazo
Nani nimpe lawama
Peke yangu naongea hamnazo
Kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
Nikakesha kula bata najisahau
Napumua karadhi
Ohh sina(ooh yani sina)
Ohh sina(wa kunipa imani)
Ohh sina(ooooh sina)
Oooh sina
Iyeyeee
Ohh sina(hata wa kunifariji)
Ohh sina(kunipa moyo niendelee)
Oooh sina(Oooh sina mama)
Ohhh sina
Oooiyee
Pesa pesa
Pesa Pesa
Pesa Pesa
Pesa pesa
Pesa pesa
Pesa mfano wa poto (Pesa pesa)
Zinapepea sare ndo sindano (Pesa pesa)
Chunga yasije majuto (Pesa pesa)
Tena tekea igeni mifano

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : Sina (Album)


Copyright : ©2017 Wasafi Records


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

HARMONIZE

Tanzania

Harmonize, born Rajab Abdul Kahali on 3 October 1991 in Mtwara, Tanzania, is a Tanzanian singer ...

YOU MAY ALSO LIKE