Home Search Countries Albums

Mama Lyrics


Yeah, this one go to all
Beautiful mothers in the world
I love you mama
I want talk to yah

Hello mama, leo nimepata kisimu cha kuazima
Nikaona hata angalau niijue hali yako
Vipi upo salama? Yana dhumuni nijue kama uko mzima
Hadi nimesahau shikamoo heshima yako

Ingawa bado mambo magumu 
Ila sijachoka napambana
Ulinisihi nikakudhulumu 
Ni makosa kwa Rabana

Wasikudanganye na picha za mitandao
Ukahisi na pocho
Uniombe kila kukicha mimi mwanao
Ipo siku nitatoboa

Nilisikiaga mjomba Isa 
Yule fundi mbao
Tayari ameshaoa
Ila yote tisa kumi mwanao

Moyoni nina doa la kuwa mbali nawe
Eeh mama I love you,
I say I love you mama, Mama I love you
Nahangaika ili kesho nikutunze
Mama I love you, I love you, I love you
Mama I love you (Eeh, I love you mama)

Miezi tisa tumboni 
Kwa mateke mi mtundu ulinibeba
Ukajitesha mgongoni 
Upweke na uchungu ule wa leba

Nikisema nikusifie
Sifa zako siwezi maliza
Ninachotamani usikie
Kwa ajili yako nabangaiza

Mama sio mchana sio usiku
Kukicha nakwenda race
Ila naamini ipo siku
Mola atanifanyia wepesi

Chunga! 

Wasikudanganye na picha za mitandao
Ukahisi na pocho
Uniombe kila kukicha mimi mwanao
Ipo siku nitatoboa

Nilisikiaga mjomba Isa 
Yule fundi mbao
Tayari ameshaoa
Ila yote tisa kumi mwanao

Moyoni nina doa la kuwa mbali nawe
Eeh mama I love you,
I say I love you mama, Mama I love you
Nahangaika ili kesho nikutunze
Mama I love you, I love you, I love you
Mama I love you (Eeh, I love you mama)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : AFRO EAST / Mama (Album)


Copyright : (c) 2020 Konde Worldwide.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HARMONIZE

Tanzania

Harmonize, born Rajab Abdul Kahali on 3 October 1991 in Mtwara, Tanzania, is a Tanzanian singer ...

YOU MAY ALSO LIKE