Home Search Countries Albums

Amelowa

HARMONIZE

Amelowa Lyrics


Yaw yaw

Iyo miinamo huko myuma yaliyomo yamo
Binti wa makamo
Come closer and give me some o oh
Kama tunda lilimshinda adamu
Akashindwa kuvumilia
Sasa kwanini tuitane binamu
Me nina nyongo itatumbukia
Ulimi ukipitiliza unanimaliza
Mwenzako bado najiuliza ivi ni kweli ama tunaigiza
Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
Me ndio fundi war aha zake natwanga na kukoboa
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gear
Zikanipanda hisia
Nanilipo chuchumia maji yakatoka
Amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua
Motto Amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Uuuhh aaahh
Ameniweka kwenye chupa ndio maana amatamba
Uuuhh aaahh
Wenye papara pupa nawaona washamba
Nyope nkamwanao anyakwile chakunoa
Chachikutila mwanao liduva lipambahuka kulyamba
Liduva lipambahuka kulyamba
Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
Me ndio fundi war aha zake natwanga na kukoboa
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gear
Zikanipanda hisia nanilipo chuchumia maji yakatoka
Amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua
Motto Amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Ameniweka kwenye chupa ndio maana amatamba
Hao  vijana
Wenye papara pupa nawaona washamba
Ate ntwangu unandeke
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gear
Zikanipanda hisia nanilipo chuchumia maji yakatoka
Amelowa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Amelowa (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

HARMONIZE

Tanzania

Harmonize, born Rajab Abdul Kahali on 3 October 1991 in Mtwara, Tanzania, is a Tanzanian singer ...

YOU MAY ALSO LIKE