Home Search Countries Albums

Nimechoka

HANSTONE

Nimechoka Lyrics


Pararara, pararara
Mafeeling make it

Hivi ndo tuseme haoni
Ama hajui anachonifanyia sio sawa
Mmmh yaani kama mate simkauki mdomoni
Kwake nimekuwa adui alafu aniombee mabaya

Oooh anaumiza moyo wangu mama
Anaitesa akili yangu sana
Anacheza na hisia zangu jamaa
Nimechoka manyanyaso na penzi langu maana

Namfumania nasamehe
Ooh namrudia twendelee
Si bora angeniambia niwache
Kama kampata mwingine waendelee

Mmmh naonekana chizi wa mapenzi
Nilijulikana kwako sijiwezi
Nishadira bana Mwenyezi
Ndo anayejua

Nikisema sana nitalia siwezi
Yamenichosha mapenzi
Usiku mzito nautua siwezi
Jamaa nimechoka

Nimechoka, nimechoka
Nimechoka, nimechoka

Labda tuseme ni utoto
Hajakuwa nao
Ama ujana maji ya moto
Ndo anaugua ooh

Kwa visa visa changamoto
Penzi akaliua ooh
Na kutazama kulia na kushoto
Ajali ya moyo kanibutua ooh

Sa kwanini nilimpa moyo
Kwa nini anione kolo?
Kwa nini nauliza aah

Oh juu mpaka chini akaubwaga moyo
Nimwamini leo mpaka tomorrow
Sa kwa nini anione poyoyo mama

Namfumania nasamehe
Ooh namrudia twendelee
Si bora angeniambia niwache
Kama kampata mwingine waendelee

Mmmh naonekana chizi wa mapenzi
Nilijulikana kwako sijiwezi
Nishadira bana Mwenyezi
Ndo anayejua

Nikisema sana nitalia siwezi
Yamenichosha mapenzi
Usiku mzito nautua siwezi
Jamaa nimechoka

Nimechoka, nimechoka
Nimechoka, nimechoka

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Amaizing (EP)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HANSTONE

Tanzania

Hanstone is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE