Home Search Countries Albums

Baba Lyrics


Mungu wangu, Baba yangu
Umejawa na sifa, umejawa na sifa
Mungu wangu, Baba yangu
Umejawa na sifa, umejawa na sifa

Umezungukwa na upinde wa mvua
Utukufu ni vazi lako bwana, ewe bwana
Wewe ni Mungu kwa sababu
Unafanya mambo tusiyoweza kuyafanya, kuyafanya

U zaidi ya vionekanavyo
U zaidi ya maneno
U zaidi ya vionekanavyo
U zaidi ya maneno

Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)
Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)

Wewe ndiwe Mungu wangu ee (Baba ee)
Wewe ndiwe maficho yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)
Wewe ndiwe baba yangu ee

Ulifanya njia pasipo na njia
Adui zangu walipofuata nyuma
Mawimbi yakawaangamiza

Hujawahi niacha
Wala kunipungukia wee
Unapigana na wanaopigana nami
Unashindana na wanao shindana nami

Umenifanya punde kidogo
Kuliko ukuu wako
Umenivika na taji ya heshima
Na mamlaka yote na uzima

Umenifanya punde kidogo
Kuliko ukuu wako
Umenivika na taji ya heshima
Na mamlaka yote na uzima

Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)
Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)

Wewe ndiwe nguvu yangu ee (Baba ee)
Provider protector yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)
Wewe ndiwe baba yangu ee

Wewe ndiwe mwamba yangu ee (Baba ee)
Wewe ndiwe nguvu yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)
Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : The Message (EP)


Copyright : (c) 2021 Gripa Music


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

GRIPA MUSIC

Tanzania

Gripa Music is a record label from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE