Kampeni Lyrics
Waliponikaribia na kuniaibisha eeh
Haukunyamaza ukanipigania eeh
Waliponivua utu na kulichana vazi langu
Na heshima ulinikumbatia nisiaibike
Waliposema mi mjinga, ujinga ninao
Sababu hekima haiezi bila upendo
Nilipoyafunika madhaifu yao
Na kumbe tafsiri ni mjinga kwao
Hata nilipokaa kimya wewe uliona yote
Uliponyamaza hukuacha nife
Ninakushukuru ooh, ooh Jire Dumo
Asante, ooh, oooh Igwe
Nitafanya kampeni za wema wako
Wajue Mungu ni mwema
Nitafanya kampeni za wema wako
Wajue Yesu ni mwema
Unaponibariki bariki adui zangu
Ili wasinisonge kutaka uhai wangu
Unapopiga mapigo samehe rafiki zangu
Wanaoning'ata alafu wanapuliza puu
Hata nilipokaa kimya wewe uliona yote
Uliponyamaza hukuacha nife
Ninakushukuru ooh, ooh Jire Dumo
Asante, ooh, oooh Igwe
Nitafanya kampeni za wema wako
Wajue Mungu ni mwema
Nitafanya kampeni za wema wako
Wajue Yesu ni mwema
Fadhili zako zadumu kila asubuhi
Wewe ni Mungu unayesimamisha mianga angani
Pendo lako lanitosha daima
Huruma yako imepita fahamu zangu
Ninakupenda Yesu, ninakupenda mwamba wangu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Kampeni (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GOODLUCK GOZBERT
Tanzanie
Goodluck Gozbert est un artiste chanteur de musique Gospel d'origine Tanzanienne. ...
YOU MAY ALSO LIKE