Home Search Countries Albums

Napata Shida

GOLD BOY

Napata Shida Lyrics


Mbali umeka mi nateseka
My baby hujui hilo
Mi nakesha bar kila kukicha
Nipate hata usingizi kama wa zamani

Oooh nalala, huku napata shida
Oooh nalala, huku mi nateseka mama
Oooh nalala, ku DM mambo shida 
Oooh nalala, paka wananifumbua 

Si unajua milijali napata taabu
Oooooh oooh
Na vile baby uko mbali unanipa adhabu
Oooooh oooh
Yote nimekubali wajua sababu, oooh

Tulikotoka ni mbali darling
Kukuacha siwezi
Yote nimekubali kweli 
Kwa mdudu mpenzi

Daktari wangu fanya uje
Uniponye 
Maana kamoyo kangu kala kaguxhe
Nikuone baby

Oooh nalala, huku napata shida
Oooh nalala, huku mi nateseka mama
Oooh nalala, ku DM mambo shida 
Oooh nalala, paka wananifumbua 

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Napata Shida (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

GOLD BOY

Tanzania

Gold Boy is an artist from Tanzania best known for popular music covers. ...

YOU MAY ALSO LIKE