Mungu Mzuri Lyrics

Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa.
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Mungu wewe ni mzuri, mzuri, mzuri Sana
Mungu wewe ni mwema, mwema, mwema kwangu
Mungu wewe ni mzuri, mzuri, mzuri Sana
Mungu wewe ni mwema, mwema, mwema kwangu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Mungu Mzuri (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GODWILL BABETTE
Kenya
Godwill Babette is a Kenyan Gospel artist, worship leader, Video director/script writer, Songwriter ...
YOU MAY ALSO LIKE