Egemeo Lyrics

Roho wako mwenyezi
Amenifanya jinsi nilivyo
Pumzi yako, uhai wangu
Umefufua mifupa mikavu
Uhai umenipa Baba yangu
Umetuliza dhoruba
Wakati wa mawimbi
Moyo wangu na ukuiniue wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Egemeo Baba yangu umbali huu
Ninashukuru, Mwamba
Dunia, mbingu ni mwashahidi
Umbali huu ni wewe Bwana wa mabwana
Kwa makubwa madogoumbali umbali huu
Ni wewe Bwana wa mabwana
Na mengi, machache huu
Ni wewe Bwana wa mabwana
Ninakuinua, inua aa
Umetenda mema, mema Bwana
Ni wewe Shamma
Wewe ni Jehovah Shamma
Ni wewe Jireh
Wewe ni Jehovah Jireh
Ni wewe wewe Shamma
Wewe ni Jehovah Shamma
Na bado wazidi kuwa Mungu umekuwa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2017
Album : Egemeo (Single)
Copyright : ©2017
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
GODWILL BABETTE
Kenya
Godwill Babette is a Kenyan Gospel artist, worship leader, Video director/script writer, Songwriter ...
YOU MAY ALSO LIKE