Home Search Countries Albums

Narudisha

GLORIA MULIRO

Narudisha Lyrics


Abudiwa Bwana, tukuka Bwana,
Heshimika Bwana, tukuka milele,
Wewe ni Mungu hakuna kama wewe Bwana,
Unayotenda hakuna mwingine awezaye tenda,
Unarudishia watu miaka yao, waliopoteza
Ulimrudishia Ayubu miaka yote aliopoteza,
Mali yake watoto wote bwana ulirudisha,
Tena maradufu,
Miaka yangu iliyoliwa na nzige,

Bwana ulirudisha nami najua nitarudishiwa,
Miaka yangu nitarudishiwa,
Iliyoliwa na nzige nitarudisha,
Eeeiee miaka yangu,
Iliyoliwa na nzige,

Narudisha! narudisha!
Miaka yangu iliyoliwa na nzige,
Narudisha kwa jina la Yesu
Miaka yangu, iliyoliwa na nzige,
Narudisha kwa jina la Yesu.

Nzige wamekula amani ya wengi,
Nzige wameharibu afya ya wengi mno,
Angalia imebaki mifupa mikavu,
Tazama imebakia mifupa mikavu,
Lakini kuna tumaini, Bwana atarudisha,
Amani itarudishwa, afya itarudishwa,
Biashara itarudishwa, furaha inarudishwa,
Waliopakwa tope, Bwana anasafisha,
Walioshushwa chini Bwana anainua,
Ata mti ukikatwa, utachipuka tena,
Waliopoteza maono yao jipe moyo,
Bwana anarudisha kwa jina la yesu

Narudisha, narudisha,
Miaka yangu, iliyoliwa na nzige,
Narudisha kwa jina la Yesu,
Miaka yangu iliyoliwa na nzige,
Narudisha kwa jina la Yesu.

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : Narudisha (Single)


Copyright : ©2017


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

GLORIA MULIRO

Kenya

Gloria Muliro is a Kenyan Gospel Musician who was born in Emuhaya, Western of Kenya to the late Davi ...

YOU MAY ALSO LIKE