Home Search Countries Albums

Naoa Lyrics


Nimelewa chakari, mwenzenu kwake sijiwezi
Kung'oka ndo ngumu, moyo ushamea mizizi
Nishaweka na nia, mwenzenu na mwaka nioe
Nishachanga na vihela, mahari kwao nikatoe

Na nitake kwake nini nikose aah
Nala raha kwa bustani mmh
Kichwa nishalaza kifuani
Na alivyo laini ka maini, mmh

Naoa naoa, mwenzenu naoa
Naoa naoa, nimepata jiko
Naoa naoa, ooh nishakata kauli
Naoa naoa, eeh bye bye ubachelor

Kwake sibanduki, siondoki
Nimezama kina
Matusi si mkuki, si bunduki
Mnajisumbua

Nalala naye, naamka naye
Na Maulana kanipa ye, yeye eh eh eh
Nampenda ye, ananipenda ye
Ni radhi nizikwe na yeye, eh eh eh

Na nitake kwake nini nikose aah
Nala raha kwa bustani mmh
Kichwa nishalaza kifuani
Na alivyo laini ka maini, mmh

Naoa naoa, mwenzenu naoa
Naoa naoa, nimepata jiko
Naoa naoa, ooh nishakata kauli
Naoa naoa, eeh bye bye ubachelor

Kwa maneno yasoisha, tuache
Eeh mmh, watuache
Vijembe vya ma ex, tuache
Mmmh, watuache

Mara pete ni ya kiki, tuache
Mmh ooh, watuache
Eti hatuendani, watuache
Eeh aah, watuache

V baby

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : V the Album (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BROWN MAUZO

Kenya

Brown Mauzo whose real name is Fredrick Mtinda was born on 31st December. He is a Kenyan musician wh ...

YOU MAY ALSO LIKE