Home Search Countries Albums

Msaidizi

GLORIA MULIRO

Msaidizi Lyrics


Tuma Baba tuma msaidizi x2
Tuma Yesu, tuma msaidizi x2
Yesu uliahidi wanafunzi wako
Kwamba hautawaacha kama yatima
Bali utawatumia msaidizi
Awafunze, awape nguvu
Awafariji mioyo
Nami naja mbele zako
Baba niko mbele zako
Naomba unitumie msaidizi
Anifunze, anipe nguvu
Aniongoze kwa kazi yako
Baba tuma msaidizi
Tuma msaidizi
Naomba Baba, nisaidie
Nataka nguvu mpya
Kila usiku ninapoenda kulala
Nafungua bila mpango ukurasa wowote
Ninasoma mistari michache tu naanza sinzia
Nafunga Biblia naanza kuomba
Kinachofuata naamka asubuhi kusema amina
Baba nisaidie,
Tuma nguvu zako, Tuma uwezo wako
Tuma roho wako ndani yangu Baba
Naomba, Nataka nguvu
Baba mimi siwezi chochote bila wewe
Naomba nguvu zako Baba
Baba tuma, Nakuomba Baba,
Tuma roho wako ndani yangu
Anifunze, aniongoze, anitawale
Mienenendo yangu aitawale
Maombi yangu, kufunga kwangu aitawale
Naomba tuma Baba
Roho wako anifunze neno/ aombe/aimbe ndani yangu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : Msaidizi (Single)


Copyright : ©2017


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

GLORIA MULIRO

Kenya

Gloria Muliro is a Kenyan Gospel Musician who was born in Emuhaya, Western of Kenya to the late Davi ...

YOU MAY ALSO LIKE