Uko Poa Lyrics
Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee
Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee
I did not believe that it would end no
Nilifikiri yetu special
You're not even talking to my friends though
Mbona kila saa ni kama tunawachana
Day ya kwanza kuna fire kila time na
Siku hizi kukuona kuna line
Used to keep my picture posted by your bedside
Now it's in your dressed with the socks you don't like
Sijafika mahali ntakuacha kwani
Ningelipa mahari ulishaniwai
Nakujulia hali kunilenga haifai
Na nimeona
Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee
Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee
Na mimi nataka tu kukuona
Siku zimepita lakini ninakuota
Tell me is there something inside the water
Ama hizi ni mashetani zinanifwata
Na juzi mama fua uliza
Uko wapi kwani nilikukimbiza
Juu shati zako tena hazionekani
Nikadanganya uko shule amerekani
Sijafika mahali ntakuacha kwani
Ningelipa mahari ulishaniwai
Nakujulia hali kunilenga haifai
Na nimeona
Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee
Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee
Hau...vile hauko na mi'
Ningekupa kila kitu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Uko Poa (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
ETHAN MUZIKI
Kenya
Ethan Muziki is a Songwriter, producer & Audio engineer from Kenya. He was a member of Jadi ...
YOU MAY ALSO LIKE