Kesho Kutwa Lyrics
Kwangu Kujua na kukua
Ni lengo la kila kukisha tua
Hivyo hata ukinizungusha
Sioni shida, Utanifundisha
Wakaribu wanatambua
Saa zingine maneno hunisumbua
Huwa yanikataa
Huwa yanihadaa
Lakini we, ona ninapaa
Ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika
Na nitapita yie
Lakini we, ona ninapaa
Ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika
Hata Kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana
Hata kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana
Wewe unanijua, gizani umenitoa
Sikudhani ningetoboa
Ni Mara ngapi nilikwama?
Ni Mara ngapi? Umechagua niwe na we'!
Na siezi ngoja kwenda kwenye goti
Nikuvishe pete dunia i-notice
Vile ninapaa, ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika
Na nitapita yie
Lakini we, ona ninapaa
Ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika
Hata Kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana
Hata kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana
Ooh, I promise to love you
You inspire me
You....
Oh yes, oh yes, oh yes!
We've given love a chance
Niwe na we', na we'!
(love is always in us)
Sometimes we fall in love
Love us always in us
Sometimes we fall in love
Love is always in us
Hata Kesho Kutwa,
Na Usiku... Na usiku
Kesho, kesho, kesho!
Na usiku, tutapenda
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Kesho Kutwa (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ETHAN MUZIKI
Kenya
Ethan Muziki is a Songwriter, producer & Audio engineer from Kenya. He was a member of Jadi ...
YOU MAY ALSO LIKE