Home Search Countries Albums

Afande Nisamehe Lyrics


Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)
Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)

Sikujua anakujam anavuja
Eti nami nikapiga, sikumsamehe
Viwanja vyote navuruga
Vya wazungu na waruka ruka
Tena natimba na buga mtu anisamehe

Mmenikuta na shamba la bangi
Mi nilijua majani
Mnaniita mi kitangi, afande nisamehe
Mara oh mzurururaji, wakati nasaka ulaji
Kisheria mkiukaji, sila nitetee

Afande nisamehe, Afande nisamehe
Afande nisamehe, Afande nisamehe

Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)
Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)

Daladala mi ziba nafasi
Nakwenda job niko race 
Kwenye road ya mwendokasi
Afande nisamehe

Hebu acha nifike upesi
Kibarua kisiote nyasi
Maana nisipojiongeza 
Boss hatanisamehe

Nimenyweshwa pia nimelewa
Siwezi hata kutembea
Hapa hapa mi najinyea
Meneja nisamehe

Stori kubwa mtandaoni
Paula kutoka na Vanny
Wakifika mahakamani
Hakimu wasamehe 

Afande nisamehe, Afande nisamehe
Afande nisamehe, Afande nisamehe

Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)
Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Afande Nisamehe (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ENOCK BELLA

Tanzania

ENOCK BELLA is a recording artist from Tanzania, former member of the Yamoto Band a group he formed ...

YOU MAY ALSO LIKE