Home Search Countries Albums

Niepushe

ECHO

Niepushe Lyrics


Aah aah, mmmhhh, uwo uwo
Echo; mmmmhh

Dear Lord
Najua unaniona
Nangianana napambana
Huku jua lanichoma ona
Leo nahabaari fuupi, naomba niseeme naawe
Japo najua unayaona Baba weeh
Ama nilile tunda alopewa hawa, ndo linalotusabishia haya
Maana sielewi, sielewi
Nashangaa mtu anakuchukia bila sababu
Anachotaka kila siku upate tabu
Mbiombio kila siku kwa babu ona oooh

We ulisema riziki mafungu saba
Wameshindwa kungoja hadi wana kaba
Wengine wanangoja mali za Baba ona oooh
We ulisema riziki mafungu saba
Wameshindwa kungoja hadi wana kaba
Wengine wanangoja mali za Baba ona oooh

Niepushe, niepushe, niepushe
Na yawalimwengu nisijetumbukia
Niepushe, niepushe, niepushe
Na yawalimwengu nisijetumbukia

Hivi alieleta pesa nani?
Hivi pesa ndo shetani?
Au sis indo mashetani ?
Sielewi,ona
Asahivi mzazi anauwa mwanae
Kisa utajiri mengine baadae
Dunia ina mengi ila mengi yakutema tu
Sasahivi mwenye haki hana haki
Wenye haki wa milli na malaki
Wa mihogo wa kuti si bati uende wapi ?
Vifo vya leo vimekua sherehe
Ukifa wengine wanafata mchelee
Wengine watalia wengine kelele mana walitamani iwe hivyo

We ulisema riziki mafungu saba
Wameshindwa kungoja hadi wana kaba
Wengine wanangoja mali za Baba ona oooh
We ulisema riziki mafungu saba
Wameshindwa kungoja hadi wana kaba
Wengine wanangoja mali za Baba ona oooh

Niepushe, niepushe, niepushe
Na yawalimwengu nisijetumbukia
Niepushe, niepushe, niepushe
Na yawalimwengu nisijetumbukia

Yawalimweengu siyawezi mwanao yawalimwengu ooh
Aaah niepushe eehh ahaa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Niepushe (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ECHO

Kenya

Echo is an artist from Kenya signed under Kubwa Studios. ...

YOU MAY ALSO LIKE