Home Search Countries Albums

Shosh Gwangi

DOMANI MUNGA Feat. SEWER SYDAA

Shosh Gwangi Lyrics


Shosh yangu ni gwangi yu sanif kwa ploti hata ka kuna giza
Sichezi mimi ni bandi kila scene still aliumiza yoh
Ka sina shilingi za peng najua haringi namanga aringi
Uchumi inatuumiza

Nauza gunga na rizla, gunga na rizla, gunga na rizla
Nauza gunga na rizla, gunga na rizla, gunga na rizla
Nauza gunga na rizla, gunga na rizla, gunga na rizla
Nauza gunga na rizla
Shosh yangu ni gwangi nauza gunga na rizla

Miraa nilipunguza lakini hawaamini nikimanga binji
Ka sina shilingi za pengting na haringi namanga aringi
Hii lifestyle yes napata ngaji lakini inani annoy
Naenda mjini narudi, mjini narudi naget paranoia

Naziuza hamsini hamsini hizi ma gunga na rizla
We lala chini unaeza shoot-iwa kichwa 
Last week I made a profit, this week nina mafuta
Sijali njege akinishika na chengerere hakuna mbrrcha

Naishi ka Osama, itos kubebanga ni talanta
Opps wakicheza nashanda manywele na mabeards naachanga
Mtu wangu we na jeshi yako si aki mna maneno
Tusiwahi patana hizi street ju nitakuvunja meno

Hatujali wera yoyote sisi bora faida
Rende imeharibika watakulwa mchana hakuna kusaidika
Product of my nature kuna vitu sifeelingi sorry
Vitu expensive zihunifanyanga nifeel lonely

Shosh yangu ni gwangi yu sanif kwa ploti hata ka kuna giza
Sichezi mimi ni bandi kila scene still angamiza yoh
Ka sina shilingi za peng najua haringi namanga aringi
Uchumi inatuumiza

Nauza gunga na rizla, gunga na rizla, gunga na rizla
Nauza gunga na rizla, gunga na rizla, gunga na rizla
Nauza gunga na rizla, gunga na rizla, gunga na rizla
Nauza gunga na rizla
Shosh yangu ni gwangi nauza gunga na rizla

Shosh huskii hatosh jo ngorea cops walegalize it
Sorry coplo usijali mi ni mtumiaji wa bangi
Haitaki hasira ni rahisi kwanza shika gbag usanif
Na stoi hongo labda mfungie kikolo
Mzae jo hana hemp inabidi inabidi tukule korobo
For two days sasa pedi alinipiga msasa
Mteja hapatikani medi aliingilia siasa
White man bado simpendi hata after wanipe independence
Kitu ya mtu ni deni na usiwai toka ya besh chege
Town unaondekea Hessy yaani still unasafisha teke
Eeh jo hautaki kupatwa na reke

I hope ulipata ile message yenye tulituma na bullets
Hamjui maana ya spending ndo maana mnapenda za bure
Akili yako ndo safest usijijaze ka mbunge
Tie up hio shoelace ushaskia babu wa Swaleh
Sai unadeal na  ndugu ya Suleh, kumbe 

Shosh yangu ni gwangi yu sanif kwa ploti hata ka kuna giza
Sichezi mimi ni bandi kila scene still angamiza yoh
Ka sina shilingi za peng najua haringi namanga aringi
Uchumi inatuumiza

Nauza gunga na rizla, gunga na rizla, gunga na rizla
Nauza gunga na rizla, gunga na rizla, gunga na rizla
Nauza gunga na rizla, gunga na rizla, gunga na rizla
Nauza gunga na rizla
Shosh yangu ni gwangi nauza gunga na rizla

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Haitaki Hasira (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DOMANI MUNGA

Kenya

Domani Munga (born 2 September 19' ) aka Wuzu or Doche is an artist from Kenya, member of t ...

YOU MAY ALSO LIKE