Tena na Tena Lyrics

Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
Mi ni nasty from Jan to December
My only lingo ni fimbo inacheza
Vitu haram najipata nimependa
Tena na tena walahi siwezi sema
Tukiwa wawili hakuna usingizi
Story ya ndizi nablow ka filimbi
Ndo uwe ready tuget so busy
Juu mi ndo wera na hapa ni ofisi
Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
Kutoka siku ya kwanza ndivyo aliniteka
Ni mgentle na sura imeweza
Ka ni chuma pia amebeba
Design imenifunga hapa ndio jela
Ye hunikula ka chakula nikiwa juu ya meza
Tena na tena hadi asubuhi mapema
Kuna day nilifeel ka nitahepa
Lakini kwake tena na tena, narudi
Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
On repeat kwake nitaenda
Kwanza ikiwa season ya mapera
Ju nataka kubebwa kwa mabega
Alafu mi ni tasty sio easy kunitema
He's a badboy toxic na chuma biggy
Kifua fiti anapiga tizi
Akiwa mtaa anashow watu wa Mwiki
Eque nimechizi hio mwili
Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
Bad boy nashindwa kumlenga
Juu kila time najipata kwake tena
Tena na tena, tena na tena
Tena na tena
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Tena na Tena (Single)
Copyright : (c) 2021 Black Market Records.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE