Home Search Countries Albums

Mama Lyrics


Kama isingekuwa wewe mama
Maisha yangu yasingekuwepo
Kama isingekuwa wewe mama
Maisha yangu yasingekuwepo

We ndo ishara ya ushindi mama
Umenilea kwa misingi mama
Miezi tisa tumboni uko nami
Kwenye mvua na jua uko nami
Usiku wa kulala ukakesha uko nami
Ukalala njaa ukashiba uko nami

Nakuomba Mungu baba tazama (pekee yake pekee)
Umlinde usiku mchana wangu mama (Akulinde nawe mwanangu)
Aliyekupenda kila jua likizama
Akikupenda mama pekee ni karama 

Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama

Fanya kazi kwa bidii mwanangu
Unitunze mama yako mwanangu
Saidia kila mtu mwanangu
Mungu akupee imani mwanangu

Ooh mwanangu jaribu 
Kutofautisha wabaya na wema
Hakuna wa kukuhangaisha
Hata kama wanasema 

Umtunze baba yako
Uwalee ndugu zako
Wapende jirani zako
Uzipate radhi zako

Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama

Khadija Kopa na Mwanawe ndogo Janja eeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Asante Mama (Album)


Copyright : (c) 2021 MMB (Manzese Music Baby)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DOGO JANJA

Tanzania

Dogo Janja is a rapper from Dar es Salaam, Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE